Партнерка на США и Канаду по недвижимости, выплаты в крипто

  • 30% recurring commission
  • Выплаты в USDT
  • Вывод каждую неделю
  • Комиссия до 5 лет за каждого referral

WAMA NAKAYAMA SECONDARY SCHOOL

WAMA LogoWAMA

Executive Secretary, The Headmistress

WAMA Foundation – HEADQUARTES, P. O. Box 35

P. O. Box 10641, Kawe, Dar es Salaam Nyamisati-Kibiti

Office Tel: +255 22 2126516; COAST REGION

Mobile: 0685-651449, 0789-000341

Email: *****@***or. tz/ Website: www. wamafoundation. or. tz

 
NAMBA YA FOMU:

FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

2016

1.  UTANGULIZI

Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inawaalika wanafunzi wa kike wenye sifa za kujiunga na kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya wasichana ya WAMA-Nakayama iliyopo kijiji cha Kibiti Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. Shule ya sekondari ya WAMA-Nakayama ni shule ya kisasa ya bweni inayosomesha wanafunzi wanaotoka katika Mazingira Magumu/Hatarishi na Yatima. Hata hivyo, kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo endelevu ya shule na mazingira bora ya usomaji (ufundishaji na ujifunzaji) yenye ushindani, tunawaalika wanafunzi wengine kutoka kwenye familia zenye uwezo wa kulipa ada. Fedha zitakazolipwa zitasaidia Taasisi kuendelea kuwasomesha wanafunzi ambao wasingeweza kupata Elimu ya sekondari bila ya Msaada.

Shule ina majengo mazuri na ya kisasa kwa kufundishia na kujifunzia ikiwa ni pamoja na Maabara, Maktaba iliyosheheni Vitabu, Chumba cha Kompyuta, Madarasa makubwa, Mabweni, Viwanja vya Michezo, pamoja na Wataalamu wa maabara, Kompyuta na Walimu wazoefu katika fani zote. Shule inafanya vizuri sana katika mitihani ya kitaifa kama inavyojionesha katika matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha pili na cha nne mwaka 2013 na 2014.

НЕ нашли? Не то? Что вы ищете?

Shule yetu mpaka sasa ina wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha Sita. Kwa kidato cha Tano na Sita, shule ina michepuo miwili ya Biashara na Sayansi, katika tahasusi za ECA, PCB, CBG na PCM.

Picha ya muombaji ya hivi karibuni (iandikwe jina kwa nyuma)

SEHEMU A. (TAARIFA ZA MWANAFUNZI)

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Jina La Ukoo

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Jina La Kwanza:

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Majina Mengine:

Tarehe Ya Kuzaliwa ________________________________________

Uraia _______________________________________________

Dini _________________________________________________

Jina na anuani ya Shule uliyomaliza ___________________________________

Mwaka uliyomaliza ________________________________________________

Namba ya mtihani ______________________________________

Anuani ya sasa ________________________________________________________

Simu ya nyumbani: ___________________ Simu ya mkononi: _________________________

Nukushi : ___________________

Barua pepe : ____________________________________

1.01  Familia yenu ina watoto wangapi? ________________________________

1.02  Una wazazi wote wawili? (weka alama hii √)

 
 
Ndio Hapana

 
Una Baba tu

 
Una Mama tu

2.  MAMBO YA KIAFYA

2.01 Una matatizo yoyote ya kiafya yanayohitaji uangalizi maalumu? (weka alama √)

 
 
Ndiyo Hapana

Kama ndiyo (weka alama √)

 
 
Matatizo ya Macho Matatizo ya Kusikia

 
Allergy

Mengine: (Yataje)

2.01 Kama ndio hapo juu : Je uko kwenye Matibabu? (weka alama √)

 
 
Ndiyo Hapana

Kama ndiyo elezea __________________________________________________

___________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

2.02  Una ulemavu wowote (weka alama√)

 
 
Ndiyo Hapana

Kama ndiyo elezea ni ulemavu gani? _______________________________________

___________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

3.  MZAZI/MLEZI (TAFADHALI JAZA KWA UKAMILIFU )

Baba

Mama

Mlezi

Jina la ukoo

Majina mengine

Kazi

Mwajiri

Simu ya mkononi

Anuani ya kazini

Simu ya ofisini

Nukushi

Barua pepe

4.  MATOKEO YA MWANAFUNZI YA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA

SOMO

ALAMA

MAELEZO

HISABATI (MATHEMATIICS)

SAYANSI (SCIENCE)

KISWAHILI ( SWAHILI)

KIINGEREZA (ENGLISH)

MAARIFA YA JAMII (SOCIAL SCIENCE)

GPA YA.............................................................................

Saini ya mwanafunzi ……………………………………Tarehe ……………………………

5.  TAARIFA ZA SHULE UNAYOTOKA

Jina la shule _________________________________________________________________

Anuani ______________________________________________________________

Namba ya simu _________________________________________________________________

Barua pepe______________________________________________________________________

Nukushi_____________________________________________________________________

SEHEMU B: TAARIFA ZA MZAZI/MDHAMINI

Kama mwanafunzi anadhaminiwa na Taasisi au Serikali aleta barua ya maelezo/Ahadi/ Makubaliano kutoka kwa mdhamini.

(a)  Majina ya mzazi/ Mdhamini ____________________________________________________

(b)  Tamko la Mzazi/ Mdhamini juu ya ulipaji wa ada ya shule:________________________

Saini _________________________ Tarehe _____________________

MTIHANI WA KUJIUNGA NA SHULE

Mtihani wa kujiunga na shule utafanyika katika shule ya sekondari ya Jangwani iliyopo Dar es Salaam tarehe 12/11/2015 siku ya alhamisi kuanzia saa tatu (09:00) asubuhi.

Fomu zote zirudishwe katika ofisi za Taasisi ya WAMA mtaa wa Luthuli- Dar es Salaam.

Maombi yote yaelekezwe kwa Katibu Mtendaji, Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), S. L.P 10641, Kawe karibia na Picolo Beach Hotel Dar es Salaam, na yaandikwe vizuri juu ya bahasha “Maombi ya kujiunga na kidato cha kwanza, shule ya sekondari WAMA Nakayama”, au nakala iliyo skaniwa itumwe kwenda kwenye barua pepe zifuatazo : *****@***or. tz, *****@***com na *****@***com

Fomu zote zifike WAMA kabla ya tarehe 11/11/2015.

Ada au gharama za fomu shilingi Elfu ishirini (20,000/=) ambazo hazitarudishwa zilipwe kwenye Akaunti ya CRDB Namba 0150043016403, Jina la akaunti : WAMA NAKAYAMA.

Ambatanisha nakala halisi ya malipo kutoka benki pamoja na fomu hii wakati wa kurudisha.

OUR MOTTO: EDUCATION FOR GIRLS LIBERATION!